Habari za Punde

Katibu Mkuu Kiongozi Dk.Abdulhamid Yahya Mzee Azungumza na Waandishi wa Habari Kuhusiana na Taarifa ya Uhakiki wa Wafanyakazi wa SMZ.

Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi Dk. Abdulhamid Yahya Mzee akizungumza na Waandishi wa habari wa Vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar kuhusiana na uhakiki wa Wafanyakazi hewa wa SMZ na kutoaa taarifa hiyo,Mkutano huo umefanyika katika Ofisi Rais Ikulu Zanzibar.
Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali wakifuatilia kwa makini taarifa hiyo ikitolewa na Katibu Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi Dk. Abdulhamid Yahya Mzee, akitowa taatifa hiyo baada ya uhakiki wa wafanyakazi uliofanywa kwa Wizara zote za SMZ kuchunguza wafanyakazi hewa.


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.