WANANCHI wa kisiwa cha
Kokota wilaya ya Wete, wakiwa katika foleni kuteka maji ya mvua ambayo
yamehifadhiwa katika hodhi maalumu, kwa ajili ya matumizi yao, ambapo suala la
maji ya bomba kuwa ni ndoto kupata.(PICHA
NA SAIDI ABRAHMANI, PEMBA).
Vodacom yazindua simujanja maalumu itakayosaidia wateja wenye ulemavu
-
Balozi wa Pakistani nchini Siraj Ahmad Khan (kushoto), Mkurugenzi wa
Biashara wa Vodacom Tanzania, Linda Riwa (katikati) na Afisa Mtendaji Mkuu
wa kampun...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment