Habari za Punde

Taarifa Kwa Vyombo Vya Habari Kuhusu Mabadiliko ya Majina ya Vyuo.

Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) kiliunganishwa na Chuo cha Uongozi wa Fedha Zanzibar cha Chwaka, Chuo cha Maendeleo ya Utalii Zanzibar cha Maruhubi na Chuo cha Afya cha Mbweni kwa sheria No. 7 ya mwaka 2016
Kutokana na muungano huo, majina ya taasisi hizo yamebadilika na kua kama inavyoonekana kwenye jadweli hapa chaini

  S/NO
JINA LA ZAMANI
JINA JIPYA
     1
Chuo cha Uongozi wa Fedha Zanzibar
Skuli ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar.
     2
Chuo cha Maendeleo ya Utalii Zanzibar
Taasisi ya Utalii ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar
     3
Chuo cha Afya
Skuli ya Afya na Tiba ya Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar

Hivyo, mawasiliano yote yanayohusu taasisi hizi yapelekwe kwa anuani ifuatayo:-

Makamu Mkuu wa Chuo
Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar
S.L.P. 146
Tunguu – Zanzibar.

IMETOLEWA NA IDARA YA HABARI MAELEZO ZANZIBAR

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.