WAZIRI wa
Afya Zanzibar Mhe: Mohamoud Thabiti Kombo, akiondoa kitambaa, kuashiria kuufungua
mradi wa maji safi na salama, kwa wajili ya wananchi wa kijiji cha Ngomeni
shehia ya Mgelema wilaya ya Chakechake, ikiwa ni sehemu ya shamra shamra za
miaka 54 ya Mapinduzi Zanzibar
WAZIRI wa
Afya Zanzibar Mhe: Mohamoud Thabiti Kombo, akifungua mashine ya kusambaazia
maji safi na salama, kwa ajili ya wananchi wa kijiji cha Ngomeni shehia ya
Mgelema wilaya ya Chakechake Pemba, ikiwa ni shamra shamra za miaka 54 ya
Mapinduzi Zanzibar
WANANCHI wa kijiji
cha Ngomeni shehia ya Mgelema wilaya ya Chakechake, wakifuatilia hutuba ya Mkuu
wa Mkoa wa kusini Pemba, alioitoa wakati akimkaribisha Waziri wa Afya Zanzibar
Mhe: Mahamoud Thabiti Kombo, baada ya kuufungua mradi wa maji safi na salama wa
wananchi hao, ikiwa ni shamra shamra za miaka 54 ya Mapinduzi Zanzibar,
WANANCHI wa kijiji
cha Ngomeni shehia ya Mgelema wilaya ya Chakechake, wakifuatilia hutuba ya Mkuu
wa Mkoa wa kusini Pemba, alioitoa wakati akimkaribisha Waziri wa Afya Zanzibar
Mhe: Mahamoud Thabiti Kombo, baada ya kuufungua mradi wa maji safi na salama wa
wananchi hao, ikiwa ni shamra shamra za miaka 54 ya Mapinduzi Zanzibar.
WANANCHI wa kijiji
cha Ngomeni shehia ya Mgelema wilaya ya Chakechake, wakifuatilia hutuba ya Mkuu
wa Mkoa wa kusini Pemba, alioitoa wakati akimkaribisha Waziri wa Afya Zanzibar
Mhe: Mahamoud Thabiti Kombo, baada ya kuufungua mradi wa maji safi na salama wa
wananchi hao, ikiwa ni shamra shamra za miaka 54 ya Mapinduzi Zanzibar,
WANAFUNZI
kutoka madrassa ya kijiji cha Ngomeni shehia ya Mgelema, wakicheza dufu, baada
ya Waziri wa Afya Zanzibar, Mhe: Mahamoud Thabit Kombo, kuufungua mradi wao wa
maji safi na salama, ikiwa ni sehemu ya shamra shamra za maadhimisho ya miaka
54 ya Mapinduzi Zanzibar
AFISA habari wa
ZAWA Pemba, Suleiman Anas, akijitikisa kwa kuchez dufu, muda mfupi baada ya
Waziri wa Afya Zanzibar Mhe: Mahamod Thabit Kombo, kuufungua mradi wa maji safi
na salama kwa ajili ya wananchi wa kijiji cha Ngomeni shehia ya Mgelema wilaya
ya Chakechake Pemba, (Picha na Haji
Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment