Habari za Punde

WAZIRI wa Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira aweka jiwe la msingi banda la vyumba vitatu vya skuli ya Sekondari Minungwini

WAZIRI wa Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira Salama Aboud Talib, akiwasili katika maeneo ya Minungwini katika uwekaji wa jiwe la msingi la banda la vyumba vitatu vya skuli ya Sekondari, ikiwa ni shamra shamra za miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar
WAZIRI wa Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira Salama Aboud Talib, akikunjuwa kitambaa kuashiria uwekaji wa jiwe la Msingi, katika banda la Vyumba vitatu vya skuli ya Sekondari Minungwini Wilaya ya Wete, ikiwa ni shamra shamra za miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NO:ABDI SULEIMAN, PEMBA.)
WAZIRI wa Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira Zanzibar Salama Aboud Talib, akiimba wimbo na wanafunzi wa Skuli ya Msingi Minungwini, mara baada ya uwekaji wa jiwe la msingi katika skuli ya Sekondari Minungwini, ikiwa ni shamra shamra za miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NO:ABDI SULEIMAN, PEMBA.)
NAIBU katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Abdalla Mzee Abdalla akitoa taarifa ya kitaalamu ya ujenzi wa banda la vyumba vitatu la skuli ya Sekondari Minungwini, ikiwa ni shamra shamra za miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NO:ABDI SULEIMAN, PEMBA.)
MKUU WA Mkoa wa Kaskazini Pemba, Omar Khamis Othman akitoa salamu za wananchi wa Mkoa huo, katika uwekaji wa jiwe la msingi banda la vyumba vitatu vya Skuli ya Sekondari Minungwini, ikiwa ni shamra shamra za miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NO:ABDI SULEIMAN, PEMBA.)
WANAFUNZI wa skuli ya Sekondari na Mzingi Minungwini Wilaya ya Wete, wakifuatilia kwa makini Uwekaji wa Jiwe la Msingi la banda la vyumba vitatu vya Sekondari, ikiwa ni shamra shamra za miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NO:ABDI SULEIMAN, PEMBA.)
WANAFUNZI wa skuli ya Sekondari na Mzingi Minungwini Wilaya ya Wete, wakifuatilia kwa makini Uwekaji wa Jiwe la Msingi la banda la vyumba vitatu vya Sekondari, ikiwa ni shamra shamra za miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar.(PICHA NO:ABDI SULEIMAN, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.