Habari za Punde

Zoezi la kupima vifaa vya umeme Kokota Wilaya ya Wete

WAFANYAKAZI wa Shirika la Umeme wakipima boksi, ambalo hutumika kwa ajili ya kuhifadhia barafu, kwa wananchi wa kisiwa cha Kokota Wilaya ya Wete, huku Ofisa Mdhamini wa Wizara ya Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira Juma Bakar Alawi (JB) akishuhudia zoezi hilo la Upimaji.

(PICHA NA SAIDI ABRAHMANI, PEMBA).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.