Habari za Punde

Mafunzo ya kuwajengea uwezo watendaji wa vitengo mbalimbali vya Wizara ya Habari yafanyika Pemba

 WATENDAJI wa Vitengo mbali mbali vilivyomo ndani ya Wizara ya Habari, Utali, Utamaduni na Michezo Pemba, wakifuatilia kwa makini mafunzo ya kuwajengea uwezo watumishi hao, huko katika ukumbi wa Wizara hiyo Mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 AFISA Mdhamini Wizara ya Habari, Utalii, Utamaduni na Michezo Pemba, Khatib Juma Mjaja akizungumza katika kikao cha Watendaji wa Vitengo mbali mbali vilivyomo ndani ya wizara yake, wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo watumishi hao, kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Wizara hiyo. .(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 MKURUGENZI Utumishi na Uwendeshaji wa Wizara ya Habari Utali, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Joseph Kilangi akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo watendaji wa Vitengo mbali mbali vilivyomo ndani ya Wizara ya Habari, Utali, Utamaduni na Michezo Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
AFISA Utmishi Wizara ya Habari, Utalii, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Khamisuu Hamid akiwasilisha mada mbali mbali katika mafunzo ya kuwajengea uwezo watendaji wa Vitengo mbali mbali vilivyomo ndani ya Wizara ya habari Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.