Habari za Punde

Mafunzo ya nishati ya Umeme Mbadala yaendelea kisiwani Pemba

 MRATIB wa Mradi wa Umeme Jdidifu (Mbadala) Zanzibar Mathew Matimbwi, akiwaonyesha baadhi ya washiriki wa mafunzo wa Umeme mbadala, baadhi ya vitu vinavyopatikana katika viyoo halisi ili waweze kutafautisha na viyoo vilivyokuwa sio hali wakati wa kununua kuepuka vitu feki.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 MWALIMU Mkuu wa Skuli ya Sekondari Connecting Continent iliyopo Wawi Mwache Juma  Abdalla, akiwafahamisha washiriki wa mafunzo ya nishati mbadala, jinsi ya miundombinu ya Umeme mbadala unaopatikana katika skuli hiyo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)


MMILIKI wa Mradi wa bio gass Mauwani Kisiwani Abdalla Rukuni, akitoa maelezo ya mradi wake jinsi unavyofanya kazi, wakati washiriki wa mafunzo ya nishati Mbadala walivyojifunza kwa vitendo juu ya mashuala ya nishati hiyo inavyofanya kazi.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.