Habari za Punde

Makamishna wa Kamisheni ya Utalii Zanzibar waendelea na ziara kisiwani Pemba

 MENEJA wa  The AIYANA Hotel Barbra Elikaz Mwenye mifuko mkononi, akielezea changamoto zinazowakabili katika utendaji wake wa kazi, kwa makamishna wa Kamisheni ya Utalii Zanzibar, wakati walipofanya ziara ya kutembelea hitoli hizo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
MAKAMISHNA wa Kamisheni ya Utalii Zanzibar wakikaguzwa baadhi ya maeneo yaliyomo ndani hoteli ya Aiyana, wakati wa ziara yao ya siku mbili Kisiwani Pemba, kuangalia changamoto zilizopo katika sekta ya Utalii.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.