Mabaki ya ndege ndogo aina ya Cherokee 140 iliyoanguka katika uwanja wa ndege wa Abeid Amani Karume leo jioni ilipokuwa ikijiandaa na safari yake ya Dar. na kuanguka na kuwaka moto. Rubani wa ndege pamoja na fundi aliekuwa katika ndege hii wamefariki dunia.
WATAFITI SUA WAJA NA DAWA MPYA YA MITISHAMBA DHIDI YA HOMA YA KIWELE
-
WAFUGAJI mkoani Iringa wameonyesha mwitikio chanya wa kutumia dawa mpya ya
mitishamba iliyobuniwa kwa ajili ya kutibu homa ya kiwele kwa mifugo, hat...
13 minutes ago
No comments:
Post a Comment