Waziri wa Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora Zanzibar Mhe.Haroun Ali Suleiman akizungua Namba ya Huduma Kwa Wateja ya ZAECA 113, kwa ajili ya mawasiliano ya kutowa taarifa kupitia nama hiyo kuripota taarifa za Rushwa Zanzibar hafla hiyo ya uzinduzi imefanyika katika ukumbi wa Shirika la Bima Zanzibar mpirani.
AIRTEL TANZANIA YANG’ARA HUDUMA BORA ZA MTANDAO-TCRA
-
AIRTEL TANZANIA imeibuka kinara wa kutoa huduma bora za mtandao kufuatia
ripoti ya Takwimu ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inayoishia
Machi 2...
13 minutes ago
No comments:
Post a Comment