Waziri wa Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora Zanzibar Mhe.Haroun Ali Suleiman akizungua Namba ya Huduma Kwa Wateja ya ZAECA 113, kwa ajili ya mawasiliano ya kutowa taarifa kupitia nama hiyo kuripota taarifa za Rushwa Zanzibar hafla hiyo ya uzinduzi imefanyika katika ukumbi wa Shirika la Bima Zanzibar mpirani.
Vitambulisho Vipya vya JAB Vyarejesha Heshima ya Taaluma ya Habari
-
Na Mwandishi Wetu, JAB
Vitambulisho vipya vya kidijitali vinavyoendelea kutolewa na Bodi ya
Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) vimepokelewa kwa furaha ...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment