Magari yakipita katika Daraja la barabara ya Kibondemzungu maji ya mvua yakiwa yamevuka katika barabara hiyo kutokana na Mvua za Masika zinazonyesha katika Maeneo mbalimbali ya Visiwa vya Unguja na Pemba.
RAIS SAMIA AIPA TANROADS BIL 66 KUANZA UREJESHAJI MIUNDOMBINU YA BARABARA
ILIYOHARIBIKA
-
Na Mathias Canal
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa
Bilioni 66 kwa ajili ya kuanza urejeshaji wa miundombinu ya bar...
38 minutes ago
No comments:
Post a Comment