Makamishna wastaafu wa Jeshi la Polisi, Clodwing
Mtweve na Elice Mapunda wakiwaaga Maofisa na Askari Polisi huku wakisukumwa
katika gari maalumu wakati wa Gwaride lililoandaliwa kwa ajili ya kuwaaga rasmi
baada ya kustaafu utumishi ndani ya Jeshi la Polisi.Gwaride hilo lilifanyika
Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es Salaam
Makamishna wastaafu wa Jeshi la Polisi, Clodwing
Mtweve na Elice Mapunda wakiwaaga Maofisa na Askari Polisi huku wakisukumwa
katika gari maalumu wakati wa Gwaride lililoandaliwa kwa ajili ya kuwaaga rasmi
baada ya kustaafu utumishi ndani ya Jeshi la Polisi.Gwaride hilo lilifanyika
Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es Salaam
Makamishna wastaafu wa Jeshi la Polisi, Clodwing
Mtweve na Elice Mapunda wakiwaaga Maofisa na Askari Polisi huku wakisukumwa
katika gari maalumu wakati wa Gwaride lililoandaliwa kwa ajili ya kuwaaga rasmi
baada ya kustaafu utumishi ndani ya Jeshi la Polisi.Gwaride hilo lilifanyika
Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es Salaam
Kamishna Mstaafu wa Polisi Clodwing Mtweve
akikagua gwaride lililoandaliwa kwa heshima yake wakati wa hafla maalum ya
kumuaga baada ya kustaafu utumishi ndani ya Jeshi la Polisi. Hafla hiyo
ilifanyika katika Viwanja vya Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es Salaam
Makamishna wastaafu wa Jeshi la Polisi, Clodwing
Mtweve na Elice Mapunda wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa hafla maalum ya
kuwaaga rasmi Jeshini baada ya kustaafu utumishi ndani ya Jeshi la Polisi. Hafla
hiyo ilifanyika katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es Salaam
Askari wa Kikosi cha Kutuliza ghasia FFU wakitoa
heshima wakati wa gwaride maalam la
kuwaaga Makamishna wastaafu wa Jeshi la Polisi, Clodwing Mtweve na Elice
Mapunda baada ya kustaafu utumishi ndani ya Jeshi la Polisi. Hafla hiyo
ilifanyika katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es Salaam
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akizungumza
na IGP Mstaafu Omar Mahita wakati hafla maalum ya kuwaaga Makamishna wastaafu wa Jeshi la Polisi,
Clodwing Mtweve na Elice Mapunda katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es
Salaam
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro
akifurahia jambo na Makamishna wastaafu Clodwing Mtweve (katikati) na Elice
Mapunda (kushoto) wakati wa hafla maalum ya kuwaaga baada ya kustaafu utumishi
ndani ya Jeshi la Polisi. Hafla hiyo ilifanyika katika Chuo cha Taaluma ya
Polisi Dar es Salaam.
(Picha na
Jeshi la Polisi).
No comments:
Post a Comment