Balozi wa Serikali ya
Jamhuri ya Korea Kusini nchini Tanzania Bw. Song Geum - Young (wa pili kushoto)
akizungumza na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Charles
Kichere (kulia) alipomtembelea Kamishna huyo ofsini kwake mapema leo
kuzungumzia masuala mbalimbali ya kodi katika uwekezaji na biashara. Kulia ni
Bw. Tiger Lee (Seung - Hoon) kutoka Ofisi ya Ubalozi wa Serikali ya Jamhuri ya
Korea Kusini nchini Tanzania.
Kamishna Mkuu wa
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Charles Kichere (kulia) akizungumza na
Balozi wa Serikali ya Jamhuri ya Korea Kusini nchini Tanzania Bw. Song Geum -
Young (wa pili kushoto) alipomtembelea Kamishna huyo ofsini kwake mapema leo
kuzungumzia masuala mbalimbali ya kodi katika uwekezaji na biashara. Kulia ni Bw.
Tiger Lee (Seung - Hoon) kutoka Ofisi ya Ubalozi wa Serikali ya Jamhuri ya
Korea Kusini nchini Tanzania.
Balozi wa Serikali ya
Jamhuri ya Korea Kusini nchini Tanzania Bw. Song Geum - Young akimkabidhi
zawadi Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Charles Kichere alipomtembelea
Kamishna huyo ofsini kwake mapema leo kuzungumzia masuala mbalimbali ya kodi
katika uwekezaji na biashara. Wa kwanza kushoto ni Bw. Tiger Lee (Seung - Hoon) kutoka Ofisi
ya Ubalozi wa Serikali ya Jamhuri ya Korea Kusini nchini Tanzania na wa kwanza
kulia ni Bw. Said Athumani, Kaimu Mkurugenzi wa Utafiti, Sera na Mipango wa
TRA.
Kamishna Mkuu wa
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Charles Kichere na Balozi wa Serikali ya
Jamhuri ya Korea Kusini nchini Tanzania Bw. Song Geum - Young wakipeana mikono
baada ya kumaliza mazungumzo wakati Balozi huyo alipomtembelea Kamishna Mkuu ofsini
kwake mapema leo kuzungumzia masuala mbalimbali ya kodi katika uwekezaji na
biashara. Wa kwanza kulia ni Bw. Said Athumani, Kaimu Mkurugenzi wa Utafiti,
Sera na Mipango wa TRA.
(Picha na Veronica Kazimoto).
No comments:
Post a Comment