MDHAMINI wa Shirika
la Magazeti ya Serikali Zanzibar-Zanzibarleo Ofisi ya Pemba Bakari Mussa Juma,
akisoma taarifa fupi ya shirika hilo la Magazeti ya Serikali Zanzibar, kikao
hicho cha kujitathmini na kujipongeza kwa wafanyakazi wa shirika hilo, huko
katika ukumbi wa Tasaf Chake Chake.
Afisa Mdhamini Wizara
ya Habari Utalii na Mambo ya Kale Pemba Ndg.Khatib Juma Mjaja, akizungumza na kufungua mkutano maalum wa tathmini na kujipongeza juu ya kazi za Shirika la Magazeti ya Serikali
zanzibarleo kisiwani Pemba, kwa wadau wa shirika hilo huko katika ukumbi wa Tasaf Chake
Chake Pemba.
MWENYEKITI wa Pemba
Press Club (PPC) Said Mohamed Ali, akitoa mchango wake katika kikao cha
kujitathmini na Kujipongeza kwa wafanyakazi wa shirika la Magazeti ya Serikali
Zanzibar, Zanzibarleo Pemba juu ya mabadiliko makubwa ya gazeti hilo kwa sasa
MRATIB wa Kituo cha
Huduma za Sheria Zanzibar tawi la Pemba, Fatma Khamis Hemed, akitoa neon la
shukurani juu ya hutuba ya mgeni rasmi kwa waandishi wa habari wa shirika la
Magazeti ya Serikali Zanzibar, zanzibarleo ofisi ya Pemba huko katika ukumbi wa
Tasaf Chake Chake
MWANDISHI wa Habari
mwandamizi wa Shirika la Magazeti ya Serikali Zanzibar-Zanzibarleo Ofisi ya
Pemba, Haji Nassor Mohamed akitoa shukurani kwa wadau mbali mbali wa habari,
katika kikao cha kujitathmini na kujipongeza kwa wafanyakazi wa shirika hilo
huko katika Ukumbi wa Tasaf Chake Chake
MENEJA wa Redio Jamii
Mkoani Ali Abass Omar, akitoa nasaha zake kwa waandishi wa habari na
wafanyakazi wa shirika la Magazeti ya Serikali Zanzibar, zanzibarleo Ofisi ya
Pemba katika kikao chake cha kujipongeza na kujitathmini kilichofanyika katika
ukumbi wa Tasaf Chake Chake
MRATIB wa Tasaf Chake
Chake Pemba Mussa Said, akitoa nasaha zake kwa waandishi wa habari wa Shirika
la Magazeti ya Serikali Zanzibar, Zanzibarleo Ofisi ya Pemba katika kikao cha
Kujitathmini na Kujipongeza juu ya utendejai wao wa kazi, kikao kilichofanyika
katika ukumbiwa Tasaf Chake Chake.
MSAIDIZI wa Makamu wa
Pili wa Rais Pemba Amran Massoud Amran, akitoa ushauri kwa waandishi wa habari
na wafanyakazi wa shirika la Magazeti ya Serikali Zanzibar, zanzibarleo ofisi
ya Pemba katika kikao chake cha kujitathmini na kujipongeza kilichofanyika
katika ofisi ya Tasaf Chake Chake Pemba
WAANDISHI wa Habari
na Wadau wa habari Kisiwani Pemba, wakifuatilia kwa makini mkutano wa
Kujitathmini na kujipongeza kwa wafanyakazi wa shirika la Magazeti ya Serikali
Zanzibar, zanzibarleo Ofisi ya Pemba kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Tasaf
Chake Chake
No comments:
Post a Comment