MAMIA ya wananchi wa
Wilaya ya Chake Chake wakiwa katika foleni ya kwenda kuchunguza damu zao,
wakati wa bonanza maalumu la uchangiaji wa damu kwa hiyari, lililofanyika
katika uwanja wa michezo Gombani
MKUU wa Mkoa wa kusini Pemba Hemed Suleiman Abdalla, akiwaongoza viongozi wa Serikali, Taasisi binfsi na wananchi wa Mkoa huo, katika bonanza maalumu la uchangiaji damu kwa hiyari, ambapo yeye alikuwa wa kwanza kutoa damu katika bonanza hilo lililofanyika Uwanja wa Michezo Gombani
MKUU wa Kitengo cha
Damu salama Zanzibar Dk Bakari Magarawa, akimtoa damu mkuu wa Mkoa wa Kusini
Pemba Hemed Suleiman Abdalla, kabla ya kuzindua bonanza la uchangiaji wa damu
kwa hiyari, huko katika uwanja wa michezo Gombani
No comments:
Post a Comment