Waziri wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe.Mahmoud Thabit Kombo Akiwa na Kiarabu kichoandikwa na Rais Mstaaf wa Zanzibar DK.Salmin Amour Juma,nikiwa katika Idara ya Nyaraka Zanzibar kwaajili ya kumbukumbu za kihistoria ya Zanzibar kwa wananchi na Wageni wanaofika kujisonea kulia Mkurugenzi wa Idara ya Nyaraka Zanzibar.Ndg.Salum Suleiman.
MRADI WA AFYA HATUA WACHANGIA KUSHUKA KWA VIWANGO VYA MAAMBUKIZI YA VVU
MKOANI KIGOMA
-
Mratibu wa UKIMWI, Magonjwa ya Ngono na Via vya Uzazi na Homa ya Ini Mkoa
wa Kigoma, Dkt. Hosea William akielezea namna Serikali na THPS
wanavyoshirikiana...
12 hours ago
No comments:
Post a Comment