Waziri wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe.Mahmoud Thabit Kombo Akiwa na Kiarabu kichoandikwa na Rais Mstaaf wa Zanzibar DK.Salmin Amour Juma,nikiwa katika Idara ya Nyaraka Zanzibar kwaajili ya kumbukumbu za kihistoria ya Zanzibar kwa wananchi na Wageni wanaofika kujisonea kulia Mkurugenzi wa Idara ya Nyaraka Zanzibar.Ndg.Salum Suleiman.
WAKULIMA KUNUFAISHWA NA (TBL) KUPITIA MASOKO YA KIKANDA
-
KAMPUNI ya Tanzania(TBL) imedhamiria kuwasaidia wakulima nchini kwa
kutambua uwezo wao wa kulisha watu, viwanda, na biashara katika ukanda huu
kupitia mika...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment