Na John Mapepele,
Dodoma
Waziri wa Mifugo naUvuvi, Luhaga Mpina ameliomba radhi Bunge la
Jamhuriya Tanzania kwakutofuata taratibu za kibunge kwenye utekelezaji
washughuli za Wizara yake katika usimamizi waraslimali za nchi wakati
maafisa waWizara walipofanya ukaguzi wasamaki wachanga kwenye mgahawa
uliopo ndaniyaeneo la Bunge huku akisisitiza kwamba Operesheni Sangara
2018 itaendelea katika maziwa makuuya Tanganyika na Nyasa pamoja na
maziwa madogo (RukwanaManyara), mabwawa (MteranaNyumbayaMungu) n amito
nakuwaomba wabunge kuunga mkono jitihada zinazofanywa na Serikali
kudhibiti uvuvi haramu na biashara haramu za mazao ya uvuv inchini.
Akitoa taarifa rasmi ya Serikali mbele ya bunge tukufu kuhusu tukio la
kukamatwa kwa samaki wachanga wasioruhusiwa kisheria katika mgahawa
wabunge tarehe 19,Juni 2018 Mpin aalikiri kwamba watumishi hao katika
kutekeleza kazi hiyo waliingia eneo la Bunge bila ya kibali cha
kuwezesha kufanya zoezi hilo kwa kutokujua utaratibu.
“Napenda kusisitiza kwamba Wizara yangu haikuwa na lengo lolote lile la
kudharau Bunge lako Tukufu na Ofisi ya MheshimiwaSpika” alisema
Mpinaalisemakatikatukiohilobaadayakukirikosa la kukutwa na samaki
wachanga aina ya Sato kutoka Ziwa Victoria wasioruhusiwakisheria,
mmiliki wa mgahawa huo Bw. Daniel Lamba alitozwafainiyaTsh. 300,000/=
(shilingi lakitatu)ikiwa faini kwakosa hilo ambapo alizilipa kwakutumia
akauntiyaWizarailiyopo benkiya NMB na kupewa risiti ya Serikali na
samaki hao wasioruhusiwa waliondolewa katika mgahawahuo.
Alisema Bw. Lamba aliwaonyesha wakaguzi duka alilonunulia samaki hao
kilo 100 lililopo maeneo ya mtaa wa Uhindini karibu na uwanja wa Nyerere
Square na kufanya ukaguzi ambapo hawakukuta samaki hata mmoja. Hata
hivyo wakaguzi walikagua maduka ya jirani na kubaini uwepo wa samaki
wachanga katika duka la Bwana Samweli J. Kamone na kumtoza faini ya Tsh.
200,000/= (shilingi laki mbili) na kulipa faini hiyo.
Aidha Mpina alisema Wizara yake imendelea na mapambano dhidi yauvuvi
haramu na biashara haramu ya mazao ya uvuvi hasa kwasamaki ainaya Sato
na Sangara kutokaZiwa Victoria ambapo mapambano hayo yanafanywa kwanjia
ya Operesheni ambayo inaitwaOperesheniSangara 2018 inayoendelea katika
maeneo mbalimbali ya mikoaya Mwanza, Geita, Mara, KageranaSimiyu.
Vile vile
WizarainafanyaOprereshenikatikaukandawapwaniinayojulikanakamaOperesheni
MATT, pia Operesheni nyingine inafanyika katika ukanda wa kiuchumi wa
bahariya Hindi ijulikanayo kama OperesheniJodari.
Alisema OpereshenihizizinafanywakwamujibuwaSheria za nchii kiwemo
KatibayaJamhuri ya Muunganowa Tanzania Ibaraya 27(2) ambayo inasema"
watu wote watatakiwa naSheria kutunza vizuri mali ya
MamlakayaNchinayapamoja, kupiga vita ainazote za uharibifunaubadhilifu,
nakuendesha uchumi
waTaifakwamakinikamawatuambaondiyowaamuziwahaliyabaadayeyaTaifa lao".
Aidha,OpereshenihizizinatekelezaIlaniyaUchaguziya CCM yamwaka 2015/2020
Ibaraya 27(p) ambayoinaielekezaSerikalipamojana mambo mengine" kuendelea
kupambana na uvuvi haram u ili uvuvi uweendelevu na wenyetija". Pia,
katikakiapo cha Ahadi ya Uadilifu kwa viongozi wa Umma ambapo ni
pamojanakulindakwanguvuzoterasilimali za Taifa.
Aliongeza
kwambaOpereshenidhidiyauvuviharamuzinafanyikakwakuzingatiaSheriayaUvuvinamba
22 yaMwaka 2003 pamojanaKanuni za uvuvi za Mwaka 2009, Sheriaya Uvuvi
waB ahari Kuu ya Mwaka 1998 namarekebishoyakeyamwaka 2007,
SheriayaMazingiranamba 20 yaMwaka 2004, SheriayaUhujumuUchumi (Economic
and Organised Crime Act CAP 200 Re 2002 as amended by Act no.3 of 2016)
naSheriayaHifadhi za BaharinaMaeneoTengefunamba 29 ya Mwaka 1994.
Katika Operesheni Sangara 2018 ambayo ilianza Januari, 2018
hadi sasa jumla ya watuhumiwa 3,033 walikamatwa,
samaki wachanga / wakubwa wasioruhusiwa kilo gramu 332,080,
mabondo kilo gramu5,723, Kokoro 9,730, kamba za kokoromita 578,178,
mitumbwi 1,076, magari 141, pikipiki 125, injini 582 nanyavuharamu
545,336 zilikamatwa.
KuwepokwahalihiyokunathibitishayakwambauvuviharamunabiasharaharamuyamazaoyauvuviimekithirikatikaZiwa
Victoria.
Aidha alisema katika ukanda wa pwani Operesheni
MATT inaendelea kufanyika ambapo hadi sasa mtandao wa walipuaji mabomu
umesambaratishwa, mabomu ya milipuko 720, V-6 Explosives vipande 600,
detonator 362, mbolea ya Urea kilo 324, mitungi ya gesi 68, vifaa vya
kuzamia jozi 252 na Compressors 12 vimekamatwa. Kutokana na Operesheni
hii idadi ya milipuko imepungua kwa asilimia 88.
Alisemakwenye Ukanda wa Bahari Kuu Operesheni Jodari kupambana na Uvuvi
Haramu imeendeshwa baharini na angani kwa kushirikiana na Taasisi ya
Kimataifa ya Sea Shepherd Global kwa kutumia Meli ya Ocean Warrior ya
Taasisi hiyo ambapo ukaguzi hivi sasa umedumu kwa miezi sita mfululizo
na kwa kutumia ndege aina ya Dornier 228 kutoka Serikali ya
Mauritius.
Kupitia operesheni Jodari meli 21 zimekamatwa kwa makosa mbalimbali ya
uvuvi katika Ukanda wa Kiuchumi wa Bahari Kuu na kuchukuliwa hatua
mbalimbali za kisheria. Kutokana na mkakati huu, hadi sasa hakuna meli
hata moja ya kigeni inayovua kiholela katika maji ya Tanzania.
Aliongeza kwamba pamoja na jitihada hizo za kupambana na kutokomeza
uvuvi na biashara haramu ya mazao ya uvuvi nchini, bado kumekuwa na
taarifa nyingi sana za utoroshaji, kuuzwa na kupatikana kwa samaki
wasioruhusiwa kisheria hasa samaki wachanga katika mabucha,
supermarkets, mahoteli/migahawa na masoko hususan katika maeneo ya
mikoa ya Arusha, Dar es Salaam na Dodoma.
Alisema kutokana na kuendelea kwa tatizo hilo, Wizara yake iliunda timu
ya kuhakiki na kudhibiti hali hiyo ambayo inafanya kazi katika mikoa ya
Arusha, Dar es Salaam na Dodoma ambapohadi sasa kumekuwa na mageti
maalum kwa ajili ya kufanya ukaguzi wa mazao ya uvuvi katika maeneo ya
Singida na Shinyanga.
Aidha, timu hiyo imekuwa ikifanya kaguzi za kushitukiza za mara kwa mara
katika maeneo ya mabucha, supermarkets, mahoteli/migahawa na masoko na
pia katika vyombo vya usafirishaji.
Alisematarehe 19 Juni, 2018 alipokuwa katika mgahawa wa Bunge, aliona
samaki aina ya Sato akashuku kuwa walikuwa ni samaki wachanga
wasioruhusiwa kisheria, ndipo nikamwagiza Katibu wake katika uhakiki
unaoendelea wakaguzi wajiridhishe na samaki wanaouzwa katika mgahawa wa
Bunge baada ya kupata vibali husika.
Wakaguziwalimhojimmilikiwamgahawanaalikirikuwasamakihaoni Sato
kutokaZiwa Victoria
ambapowalibainikuwabaadhiyasamakihaoniwachangakwaniwalikuwanaurefuchiniyasentimeta
25 kinyumenaKanuni za Uvuvi zaMwaka 2009 (Kanuniya
58(2)(b)"Notwithstanding the provisions of sub-regulation (1) a person
shall not fish, land, possess, process or trade in Nile tilapia or fish
locally known as ‘Sato’ the total length of which is below twenty five
centimetres").
No comments:
Post a Comment