Habari za Punde

Kutoka Baraza la Wawakilishi Zanzibar Waziri wa Ardhi Maji Nishati na Makaazi Zanzibar Mhe. Salama Aboud Talib Awasilisha Hutuba ya Bajeti ya Wizara yake ya Matumizi na Mapato kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019.

Waziri wa Ardhi Maji Nishati na Maakazi Zanzibar Mhe. Salama Aboud Talib akisoma Hutuba ya Bajeti ya Wizara yake kwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Chukwani leo kwa ajili ya kuichangia na kuipitisha kwa matumizi ya Wizara yake kwa Mwaka Mpya wa Fedha 2018/2019. 





























No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.