Zantel inapenda kuwataarifu wateja wake, wadau na jamii kwa ujumla kuwa imesimamisha mauzo ya laini zake za simu kwa mawakala wake wakuu kuanzia sasa.
Maamuzi haya magumu yamechukuliwa kutokana na tuhuma za kuwepo kwa matumizi kuanzia wa Zantel.
Zantel imedhamiria kuzingatia na kusimamia sheria zote na kanuni zote pamoja na kufuata viwango vya juu vya maadili na kampuni haitavumilia vitendo vyovyote vya udanganyifu kupitia mtandao wake. Tunashirikiana na Mamlaka za serikali kushughulikia tuhuma za makosa haya na tutachukua hatua zote ili kuepusha hatari zaidi katika suala hili.
Zantel inawahakikishia wateja wake kuwa hakuna madhara kwenye huduma zinazotolewa kwao na wateja wanaweza kuendelea kutumia huduma na kununua laini za simu katika maduka ya Zantel na mawakala wake usajili wa laini za Zantel.
Imetolewa na uongozi wa Zanzibar Telecommunications PLC.
WATANZANIA KEFA IGILO NA JERRYSON ONASAA WASHINDA TUZO ZA za FILAMU ZA
AMVCA NIGERIA
-
WATAYARISHAJI wa filamu kutoka Nchini Tanzania, Kefa Hussein Igilo na
Jerryson Onasaa, wameipeperusha vyema bendera ya taifa baada ya kushinda
tuzo kubwa k...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment