Mkufunzi wa mafunzo ya mfumo wa malipo Epicor toleo
Na. 10.2 kutoka Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI),
Bw. Augustino Manda (aliyesimama) akitoa maelezo ya awali ya mafunzo hayo kwa
Maafisa Manunuzi kutoka Halmashauri za Mikoa ya Dodoma, Singida, Shinyanga, Arusha
na Manyara , leo Jijini Dodoma.
Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya mfumo mpya wa
malipo Epicor toleo Na. 10.2 ambao ni
Maafisa Manunuzi kutoka Halmashauri za Mikoa ya Dodoma, Singida,
Shinyanga, Arusha na Manyara
wakifuatilia mafunzo hayo yaliyoandaliwa na TAMISEMI kwa kushirikiana na Mradi
wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3), leo Jijini Dodoma.
Mkufunzi wa mafunzo ya mfumo wa malipo Epicor toleo
Na. 10.2 kutoka Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI),
Bw. Augustino Manda (aliyesimama) akitoa maelekezo ya namna ya kutumia mfumo
huo kwa Maafisa Manunuzi kutoka Halmashauri za Mikoa ya Dodoma, Singida,
Shinyanga, Arusha na Manyara, leo Jijini
Dodoma.
No comments:
Post a Comment