Watoto wa Kijiji cha SOS Mombasa Zanzibar wakishangilia wakati wa kuingia msafara ya Waziri wa Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake na Watoto Zanziar, katika Kijiji chao kwa ajili ya kumuwakilisha Mke wa Rais wa Zanzibar kutowa Mkono wa Eid El Fitry kwa Watoto hao wanaoishi katika Kijiji hicho.
Mhandisi Mativila aridhishwa Utekelezaji wa Miradi ya Barabara ya
Mtili-Ifwagi na Sawala-Iyegeya
-
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, TAMISEMI anayeshughulikia Miundombinu,
Mhandisi Rogatus Mativila ametembelea na kukagua miradi ya ujenzi wa
barabara za ...
4 minutes ago
No comments:
Post a Comment