Watoto wa Kijiji cha SOS Mombasa Zanzibar wakishangilia wakati wa kuingia msafara ya Waziri wa Kazi Uwezeshaji Wazee Wanawake na Watoto Zanziar, katika Kijiji chao kwa ajili ya kumuwakilisha Mke wa Rais wa Zanzibar kutowa Mkono wa Eid El Fitry kwa Watoto hao wanaoishi katika Kijiji hicho.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan awasili
Ankara nchini Uturuki kwa ajili ya Ziara Rasmi
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili
katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Ankara Esenboga nchini Uturuki kwa
ajil...
8 minutes ago
No comments:
Post a Comment