Habari za Punde

Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud Azungumza na Waandishi wa Habari Kuhusiana na Mwenyenzi Mtukufu wa Ramadhan

Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Ayoub Mohammed Mahmoud (kulia) akifafanua jambo wakati alipokutana na waandishi wa habari kutoa taarifa rasmi kuhusu mwezi wa Ramadhan na sikukuu ya eid el fitri. Kushoto ni Katibu Tawala wa Mkoa huo Hamida Mussa Khamis, katikati ni mwandishi wa Habari mwandamizi ⁨Salum Vuai⁩.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.