Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Ayoub Mohammed Mahmoud (kulia) akifafanua jambo wakati alipokutana na waandishi wa habari kutoa taarifa rasmi kuhusu mwezi wa Ramadhan na sikukuu ya eid el fitri. Kushoto ni Katibu Tawala wa Mkoa huo Hamida Mussa Khamis, katikati ni mwandishi wa Habari mwandamizi Salum Vuai.
SHERIA ZILIZOTAFSIRIWA KWA KISWAHILI KUTOLEWA AGOSTI
-
TOLEO la Sheria ambazo zimetafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili zinatarajiwa
kuanza kutoka ifikapo Agosti mwaka huu ikiwa baada ya hivi karibuni Rais
Samia Sul...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment