AFISA miradi kutoka
shirika la SOS Pemba Ghalib Abdalla Hamad, akizungumza na Wazazi, Walimu wa
skuli, mashekhe wa shehia ya Vitongoji Wilaya ya Chake Chake, katika mdahalo wa
kubaini changamoto za elimu, udhalilishaji, ajira za watoto na madawa ya kulevya kwa watoto wa vitongoji, mdahalo
huo uliofanyika mjini Chake Chake
MWALIMU wa Skuli ya
Msingi Vitongoji Asha Mussa, akitoa changamoto za elimu na mafanikio
waliyoyapata, baada ya kikao kilichopita cha walimu, wazazi, mashekhe wa shehia
ya Vitongoji na Viongozi wa SOS Pemba, juu ya kujua changamoto za elimu,
udhalilishaji, ajira za watoto na madawa ya kulevya kufanyika
MMOJA ya wananchi wa
shehia ya Vitongoji Mariyam Saleh Juma, akichangia katika kikao cha Wazazi, Walimu
wa skuli, mashekhe wa shehia ya Vitongoji Wilaya ya Chake Chake, akiwasilisha
changamoto za elimu, alizokumbananazo kwa mtoto hadi kuhakikisha amerudi tena
skuli
WAZAZI, Walimu wa skuli, mashekhe wa shehia ya Vitongoji Wilaya
ya Chake Chake, wakifuatilia kwa makini mdahalo wa kubaini changamoto za elimu,
udhalilishaji, ajira za watoto na madawa
ya kulevya kwa watoto wa vitongoji, mdahalo huo uliofanyika mjini Chake
Chake.(Picha na Abdi Suleiman- Pemba)
No comments:
Post a Comment