Rais wa Jamhuri ya
Muungano ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Pombe
Magufuli akizungumza na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan katika Dhifa ya kitaifa
aliyowaandalia viongozi wa vyama vya siasa kutoka nchi mbalimbali za Afrika
pamoja na Chama cha Kikomunisti cha China cha CPC Ikulu jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Idara ya
Mahusiano ya kimataifa na Waziri wa
Mahusiano wa Kimataifa wa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) Song Tao
akizungumza katika hafla hiyo ya chakula cha jioni.
Viongozi wa vyama
vya siasa kutoka nchi mbalimbali za Afrika pamoja na Chama cha Kikomunisti cha
China cha CPC wakiwa katika Dhifa hio ya kitaifa Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Pombe
Magufuli akiwa na mgeni wake Mkuu wa Idara ya Mahusiano ya kimataifa na Waziri wa Mahusiano wa Kimataifa wa Chama cha
Kikomunisti cha China (CPC) Song Tao wakiangalia burudani kutoka katika kikundi
cha TOT katika Dhifa hiyo Ikulu jijini Dar es Salaam.
Kikundi
cha TOT kikitumbuiza katika Dhifa ya kitaifa Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Pombe
Magufuli akiagana na Mkuu wa Idara ya Mahusiano ya kimataifa
na Waziri wa Mahusiano wa Kimataifa wa
Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) Song Tao mara baada ya hafla hiyo Ikulu
jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Pombe
Magufuli akiagana na Rais mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Kikwete mara
baada ya Dhifa ya Kitaifa Ikulu jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment