Habari za Punde

Ujenzi wa Ofisi za Tume ya Uchaguzi Tanzania NEC Jijini Dodoma Waendelea Vizuri.

Muonekano ya Ujenzi wa Jengo la Ukumbi wa Kutangazia matokeo ya Uchaguzi la Tume ya Taifa ya uchaguzi likiwa katika hatua za ujenzi jijini Dodoma.
 Mkurugenzi wa Uhaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dkt. Athumani Kihamia (kushoto) akizungumza na baadhi ya Watendaji wa Wakala wa Majengo nchini (TBA) na wataalam kutoka Chuo Kikuu Ardhi mara baada ya kutembelea eneo la mradi wa Ujenzi wa Ofisi za NEC, Njedengwa jijini Dodoma.
Picha na NEC - Dodoma

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.