Muonekano wa viwanja vya mnazi mmoja ukiwa katika matayarisho ya ujenzi wa mabanda ya biashara kwa ajli ya kusherehekea Sikukuu ya Eid Alhajj kesho ukiendelea na ujenzi huo ukiwa katika hatua za mwisho kukamilika baada ya kufungwa mashamiana uwanja hapo kutowa fursa kwa wafanyabiasha kuyatumia kwa biashara kesho.
Wafanyabiashara ya mitii wamehamishia miti hiyo katika viwanja vya mnazi mmoja kutowa fursa kwa wafanyabiashara kupata bidhaa hiyo karibu yao kuweza kukamilisha ujenzi wa mabanda katika viwanja vya sikukuu mnazi mmoja Zanzibar.
No comments:
Post a Comment