Habari za Punde

Green Light Foundation Yasisitiza Kusimamia Uimarishaji wa Elimu Kutafuta Udhamini wa Nje na Ndani Kuhakikisha Wanafunzi Wanasoma Katika Mazingira Bora Zanzibar.

Mkurugenzi wa Jumuiya Green Light Foundation. Ndg.  Salim Mussa Omar, aliahidi taasisi hiyo itaendelea kutafuta maeneo mbali mbali  ndani na nje ili kuhakikisha wanafunzi wanasoma katika mazingira bora na kuondokana na changamoto.
Alisema wakati taifa linaingia katika ulimwengu wa tatu lazima liwe na wasomi na  watendaji makini wenye uwezo wa kusimamia vyema masuala ya ujenzi wa taifa na maendeleo.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.