Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi
Lugola(katikati), akimsikiliza mmoja wa wananchi, Benadecta Kalabani (wakwanza kulia), aliyefika
ofisini kwa waziri, jijini Dar es Salaam, kuelezea malalamiko yake.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola,
akizungumza na baadhi ya wananchi waliofika Ofisi Ndogo ya wizara, jijini Dar
es Salaam, jana kuwasilisha malalamiko
mbalimbali ili wapate ufumbuzi wa kero zao
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola,
akimsikiliza mmoja wa wananchi, Sheikh
Issa, aliyefika ofisini kwa waziri, jijini Dar es Salaam, kuelezea malalamiko yake juu
ya ndugu yake kuuawa.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola,
akimsikiliza mmoja wa wananchi, Martha
Mtungi (wakwanza kulia), aliyefika ofisini kwa waziri, jijini Dar es Salaam, kuelezea
malalamiko yake
Waziri wa
Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, akimsikiliza mmoja wa wananchi, Joseph Ashery, aliyefika ofisini kwa waziri, jijini Dar es Salaam
kuelezea malalamiko yake.
Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
IMEANDALIWA
NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI –WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
No comments:
Post a Comment