Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said
akisisitiza jambo wakati akitowa nasaha zake kwa Waumini na Wanafunzi wa
Madrasa za Kanda ya Bungi wakati wa mashindano ya kusoma na kuhifadhi Quran
yaliofanyika katika viwanja vya Msikiti wa Kibele Wilata ya Kati Unguja Mkoa wa
Kusini.
MULIKA TANZANIA YAZIDI KUWAFIKA MACHINGA NA KUWAJENGEA UWEZO
-
Taasisi ya Mulika Tanzania imewajengea uwezo kwa kundi maalumu la
Wamachinga 15 kwa ajili ya uainishaji wa vituo vya Afya vinavyotoa huduma
ya Afya ya ...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment