Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said
akisisitiza jambo wakati akitowa nasaha zake kwa Waumini na Wanafunzi wa
Madrasa za Kanda ya Bungi wakati wa mashindano ya kusoma na kuhifadhi Quran
yaliofanyika katika viwanja vya Msikiti wa Kibele Wilata ya Kati Unguja Mkoa wa
Kusini.
KAPINGA: TAASISI ZIFANYE TAFITI BUNIFU ILI KUONGEZA AJIRA KWA VIJANA
-
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Judith Kapinga (Mb), amezisisitiza
taasisi zilizo chini ya wizara hiyo kufanya tafiti zenye tija ili kuongeza
ajira kwa ...
9 hours ago

No comments:
Post a Comment