Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said
akisisitiza jambo wakati akitowa nasaha zake kwa Waumini na Wanafunzi wa
Madrasa za Kanda ya Bungi wakati wa mashindano ya kusoma na kuhifadhi Quran
yaliofanyika katika viwanja vya Msikiti wa Kibele Wilata ya Kati Unguja Mkoa wa
Kusini.
TET NA TANZANIA AI COMMUNITY KUSHIRIKIANA KUBORESHA UFUNDISHAJI KWA
TEKNOLOJIA YA AI
-
TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) imepanga kufanya mafunzo ya kukuza uwezo
kwa wakuza mitaala na walimu nchini kwa kutumia Akili Mnemba (AI) ili
kukuza ufani...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment