Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said
akisisitiza jambo wakati akitowa nasaha zake kwa Waumini na Wanafunzi wa
Madrasa za Kanda ya Bungi wakati wa mashindano ya kusoma na kuhifadhi Quran
yaliofanyika katika viwanja vya Msikiti wa Kibele Wilata ya Kati Unguja Mkoa wa
Kusini.
Benki ya CRDB yakabidhi madarasa Sekondari ya Kikilo, Shule ya Msingi
Isabe, Kondoa
-
Benki ya CRDB kupitia sera yake ya uwekezaji kwa jamii, Aprili 24 - 25,
2024 ilikabidhi madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Kikilo na
madarasa mengi...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment