Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa akihutubia katika Kongamano la Biashara Kati ya Tanzania na China kwenye ukumbi wa hoteli ya Westin jijini Beijing nchini China, Septemba 2, 2018. Makampuni yapatayo 80 yalishiriki katika Kongamano hilo.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Tunduru: Viuatilifu kuongeza uzalishaji wa Korosho Tunduru
-
Tunduru-Ruvuma.
Baadhi ya wakulima wa zao la korosho katika Tarafa ya Nakapanya Wilaya ya
Tunduru Mkoani Ruvuma,wamepongeza mpango wa Serikali wa kutoa b...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment