Afisa wa Ushirikiano wa Ubalozi wa Switzerland Bi. Romana Tedeschi akizungumza na kutowa salamu za Nchi yake wakati wa hafla ya utilianaji wa saini ya makubaliano ya miaka miwili kati ya Kampuni ya Novartis na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia Wizara ya Afya Zanzibar kupata habari za sms kutoka katika Vituo vya Afya vya Unguja na Pemba kuhusiana na upungufu wa wa dawa katika vituo hivyo kupitia Mtando wa Simu wa Vodacom.
TABIO, TOAM WANAVYOUNGANA NA AFSA KATIKA MAPENDEKEZO YA KULINDA NA KUZIENDELEZA MBEGU ZA WAKULIMA
-
Na Mwandishi Wetu
KUMEKUWEPO na majadiliano yanayoendelea katika nchi za Afrika ikiwemo
Tanzania na sehemu kubwa ya majadiliano hayo yanahusu namna nzur...
12 minutes ago
No comments:
Post a Comment