Afisa wa Ushirikiano wa Ubalozi wa Switzerland Bi. Romana Tedeschi akizungumza na kutowa salamu za Nchi yake wakati wa hafla ya utilianaji wa saini ya makubaliano ya miaka miwili kati ya Kampuni ya Novartis na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia Wizara ya Afya Zanzibar kupata habari za sms kutoka katika Vituo vya Afya vya Unguja na Pemba kuhusiana na upungufu wa wa dawa katika vituo hivyo kupitia Mtando wa Simu wa Vodacom.
Benki ya CRDB yakabidhi madarasa Sekondari ya Kikilo, Shule ya Msingi
Isabe, Kondoa
-
Benki ya CRDB kupitia sera yake ya uwekezaji kwa jamii, Aprili 24 - 25,
2024 ilikabidhi madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Kikilo na
madarasa mengi...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment