Habari za Punde

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Baloxzi Seif Ali Iddi Afunga Maonesho ya Siku ya Chakula Duniani Yaliofanyika Kisiwani Pemba.

 MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akiangalia bidhaa za matunda na mboga mboga wakati alipotembelea duka la kilimo katika Banda la JKU huko katika maonyesho ya Chakula Duniani, kabla ya kufuyafunga maonyesho hayo huko Chamanangwe Wilaya ya Wete
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali iddi, akiangalia kanzu inayotengenezwa katika kiwanda cha Ushoni cha JKU Zanzibar, wakati alipotembelea mabanda mbali mbali ya maonyesho ya Chakula duniani, kabla ya kufuyafunga maonyesho hayo huko Chamanangwe Wilaya ya Wete
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali iddi, akiangalia vyakula mbali mbali vya asili vinavyopatikana katika banda la JKU, wakati alipotembelea banda hilo lililomo ndani ya maonyesho ya Chakula Duniani, kabla ya kufuyafunga maonyesho hayo huko Chamanangwe Wilaya ya Wete
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali iddi, akiangalia moja ya dawa mifugo ambayo huzidisha uzalishaji wa kuku wa kisasa pale wanapotumia, kutoka katika mmojaya mabanda ya wajasiriamali lilililomo katika maonyesho ya Chakula Duniani kabla ya kufuyafunga maonyesho hayo huko Chamanangwe Wilaya ya Wete

 MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akiangalia shada la alizeti wakati alipotembelea banda la kaya masikini shehia ya Mjini Ole, katika maonyesho ya Chakula duniani kabla ya kufuyafunga maonyesho hayo huko Chamanangwe Wilaya ya Wete
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akiangalia dagaa kavu linalotengenezwa na wajasiriamali wa Pemba, huko katika maonyesho ya Chakula Duniani, kabla ya kufuyafunga maonyesho hayo huko Chamanangwe Wilaya ya Wete.
MKUU wa Mkoa wa kusini Pemba Omar Othman Khamis, akizungumza katika ufungaji wa maonyesho ya siku ya Chakula Duniani, huko katika maadhimisho ya siku ya Chakula Duniani huko katika Eneno la Chamanangwe Wilaya ya Wete
NAIBU Waziri Wizara ya Kilimo Maliasi Mifugo na Uvuvi Zanzibar DK Makame Ali Ussi, akizungumza katika ufungaji wa maadhimisho ya siku ya Chakula Duniani huko katika Viwanja vya Chamanangwe Wilaya ya Wete
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akizungumza katika ufungaji wa maadhimisho ya siku ya Chakula Duniani, katika viwanja vya Chamanangwe Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akimkabidhi vifaa vya umwagiliaji maji, Mkulima Abdalla Miraji Abdalla mshindi wa Pili wa katika upande wa wajasiriamali wadogo wadogo walioshiriki katika maonyesho ya siku ya Chakula Duniani, huko Chamanangwe Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba
 MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akikabidhi Kombe mwakilishi wa Idara ya Kilimo Pemba Amini Rashid Mdowe, baada ya idara hiyo kuibuka mshindi jumla katika maadhimisho ya siku ya Chakula Duniani huko Chamanangwe Wi,laya ya Wete

MAKAMU wa Pili wan Rais Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, akimkabidhi zawadi Afisa mdhamini Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Pemba Mohamed Salim Nassor, kwa niaba ya uongozi wa Chuo cha maafunzo ya amali Vitongoji kuibuka mshindi wa pili katika taasisi za Serikali, kwenye maonyesho ya siku ya Chakuda duniani huko Chamanangwe Wilaya ya Wete.(Picha na Abdi Suleiman - Pemba)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.