Mchezaji wa Timu ya Zimamoto na KVZ wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Netiboli Kanda ya Unguja Mchezo uliofanyika Uwanja wa Gymkhana uliokuwa na ushindani mkubwa kwa pande zote pili kuoneshani uwezo. Timu ya Zimamoto imeshinda kwa tabu kwa mabao 41-40.
NGALIMANAYO: NIPO TAYARI KUIHUDUMIA KATA YA MJINI KWA MOYO WANGU WOTE.
-
Songea_Ruvuma.
Mgombea udiwani wa Kata ya Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mathew
Ngalimanayo, amerejesha fomu ya uteuzi Tukio hilo limevuta hisi...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment