Habari za Punde

Michuano ya Netiboli Ligi Kuu Kanda ya Unguja Kati ya Zimamoto na KVZ Mchezo Uliofanyika Uwanja wa Gymkhana Timu Zimamoto Imesdinda kwa Bao 41-40.

Mchezaji wa Timu ya Zimamoto na KVZ wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Netiboli Kanda ya Unguja Mchezo uliofanyika Uwanja wa Gymkhana uliokuwa na ushindani mkubwa  kwa pande zote pili kuoneshani uwezo. Timu ya Zimamoto imeshinda kwa tabu kwa mabao 41-40.














No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.