Mchezaji wa Timu ya Zimamoto na KVZ wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Netiboli Kanda ya Unguja Mchezo uliofanyika Uwanja wa Gymkhana uliokuwa na ushindani mkubwa kwa pande zote pili kuoneshani uwezo. Timu ya Zimamoto imeshinda kwa tabu kwa mabao 41-40.
INEC YAENDESHA MAFUNZO KWA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA KWAHANI ZANZIBAR
-
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs
Mwambegele akifungua mafunzo ya watendaji wa uchaguzi mdogo wa Jimbo la
Kwahani lil...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment