Mkuu wa Operesheni Maalum za
Jeshi la Polisi Nchini Naibu Kamishna DCP Liberatus Sabas akipokea taarifa ya
Askari watakao simamia Uchaguzi Mdogo wa Mbunge utakaofanyika mkoani Lindi wilaya
ya Liwale Jimbo la Liwale siku ya kesho Jumamosi tarehe 13.10.2018 kutoka kwa Kamanda
wa Mkoa wa Lindi Kamishna Msaidizi wa Polisi
ACP Pudensiana Protas Kokuberwa.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi
Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Pudensiana
Protas Kokuberwa akiongea na Askari Wilaya ya Liwale mkoani humo kabla yakwenda
kusimamia Uchaguzi mdogo wa Mbunge utakaofanyika kesho Jumamosi Tarehe
13.10.2018
Mkuu wa Operesheni Maalum za
Jeshi La Polisi Nchini Naibu Kamishna DCP Liberatus Sabas akiongea na Askari wa
Wilaya ya Liwale mkoani Lindi kabla
yakwenda kusimamia uchaguzi mdogo wa Mbunge utakaofanyika kesho Jumamosi
Mkuu wa Operesheni Maalum za Jeshi La Polisi Nchini Naibu
Kamishna DCP Liberatus Sabas akiongea na Askari wa Wilaya ya Liwale mkoani
Lindi kabla yakwenda kusimamia uchaguzi
mdogo wa Mbunge utakaofanyika kesho Jumamosi Tarehe 13.10.2018
(Picha na Jeshi
la Polisi).
No comments:
Post a Comment