Kijiko cha Kampuni ya CRJE inayojenga Mitaro ya Maji katika maeneo mbalimbali ya Zanzibar.kama inavyoonekana kikiwa katika zoezi hilo mitaa ya mbweni Zanzibar kikichimba mtaro huo ukitokea katika eneo la barabara ya kiembesamaki na kupelekea maji maeneo ya pwani ya mazizini.
WAKULIMA KUNUFAISHWA NA (TBL) KUPITIA MASOKO YA KIKANDA
-
KAMPUNI ya Tanzania(TBL) imedhamiria kuwasaidia wakulima nchini kwa
kutambua uwezo wao wa kulisha watu, viwanda, na biashara katika ukanda huu
kupitia mika...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment