Kijiko cha Kampuni ya CRJE inayojenga Mitaro ya Maji katika maeneo mbalimbali ya Zanzibar.kama inavyoonekana kikiwa katika zoezi hilo mitaa ya mbweni Zanzibar kikichimba mtaro huo ukitokea katika eneo la barabara ya kiembesamaki na kupelekea maji maeneo ya pwani ya mazizini.
TANZANIA KUBEBA SAUTI YA AFRIKA COP30, NISHATI SAFI YAPEWA KIPAUMBELE
-
Mwandishi Wetu, Dodoma.
Tanzania kwa nafasi yake ya Uenyekiti wa Kundi la Majadiliano la Afrika
kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (AGN) itaongoza na kubeba s...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment