Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimjulia hali Mbunge
wa Makete Profesa Norman Sigala King ambaye amelazwa katika Hospitali ya Taifa
ya Muhimbili jijini Dar es Salaam.
Mbunge wa Makete Profesa Norman
Sigala King ambaye amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar
es Salaam akizungumza mara baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dkt. John Pombe Magufuli kumjulia hali leo tarehe 22/9/2018.
No comments:
Post a Comment