Habari za Punde

Wanafunzi wa Kidatu Cha Nne Kisiwani Pemba Waaswa Kujiandaa na Mitihani yao ya Kitaifa Inayotarajiwa Kuaza Wiki Ijayo.

KATIBU Tawala Wilaya ya Wete Mkufu Faki Ali akizungumza na wanafunzi wa Skuli Sekondari Utaani na Chasasa ikiwa ni muendelezo wa ziara zao kwa ajili ya kuwapa mawaidha wanafunzi ambao wanatarajiwa kufanya mtihani wa kidato cha nne.


WANAFUNZI wa Skuli ya Sekondari Utaani na Chasasa wakimsikiliza Katibu Tawala Wilaya ya Wete Mkufu Faki Ali alipokuwa akizungumza nao huko katika ukumbi wa Skuli ya Chasasa ikiwa ni muendelezo wa ziara za viongozi wa Wilaya hiyo kutembelea na kuzungumza na wanafunzi wanatarajiwa kufanya mitihani yao ya kidato cha nne. 
(Picha na Said Abdulrahaman - Pemba)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.