Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.
John Pombe Magufuli akisalimiana na Rais wa Uganda Mheshimiwa Yoweri Kaguta
Museven kabla ya kuanza kwa mkutano mkuu wa 20 wa Wakuu wa Nchi wanachama wa
Jumuiya ya Afrika Mashariki katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa Jijini
Arusha(AICC)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Rais wa Kenya Mheshimiwa Uhuru Kenyatta kabla ya kuanza kwa mkutano mkuu wa 20 wa Wakuu wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa Jijini Arusha(AICC) .Novemba 30,2018
Wakuu
wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakiwa katika kikao chao cha
ndani kabla ya kuanza kwa mkutano mkuu wa 20 wa Wakuu wa Nchi wanachama wa
Jumuiya ya Afrika Mashariki katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa Jijini
Arusha(AICC) .Novemba 30,2018
No comments:
Post a Comment