Habari za Punde

UTEUZI WA WAKURUGENZI WA WA BODI YA TAWA


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA MALIASILI NA UTALII
LOGO TANZANIA
Telegrams” “MALIASILI”                                                    Mtaa wa Kilimani
Tel: +255 26 2321514/2321568                                          Barabara ya Askari,
Barua pepe: ps@mnrt.go.tz                                                 S.L.P 1351,
40472  DODOMA.



TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

     
UTEUZI WA WAJUMBE WA BODI YA WAKURUGENZI WA MAMLAKA YA HIFADHI YA WANYAMAPORI - TAWA

Kufuatia uamuzi uliofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli, wa kumteua Meja Jenerali (Mstaafu) Hamisi R. Semfuko kuwa Mwenyekiti wa Mamlaka ya Hifadhi ya Wanyamapori Tanzania – TAWA, Waziri wa Maliasili na Utalii Mheshimiwa Dkt. Hamisi A. Kigwangalla (Mb.), amefanya uteuzi wa wajumbe wa Bodi ya TAWA kama ifuatavyo:

(i)                  Dkt. James V. Wakibara
(ii)                Dkt. Fredy S. Manongi
(iii)               Bw. Robert C. Mande
(iv)              Bi Sauda K. Msemo
(v)                Luteni Kanali Christian A. Ng’habi
(vi)              Dkt. Andrew M. Komba
(vii)             CP Suzan S. Kaganda
(viii)           Dkt. Fabian M. Madele
(ix)      Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA (Dkt. Allan J.H. Kijazi)
(x)        Mkurugenzi wa Wanyamapori (Kwa mujibu wa Sheria)

Uteuzi huu ni wa miaka mitatu kuanzia tarehe 26 Oktoba, 2018.


Prof. Adolf F. Mkenda
KATIBU MKUU
04 Novemba, 2018

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.