Naibu Waziri Wizara ya Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe. Choum Kombo Khamis akizungumza wakati wa Maadhimisho ya Maulid ya Kuzaliwa Mtume Muhammad SAW yaliofanyika katika Masjid Mushawar Muembeshauri Zanzibar.Akimuwakilisha Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein.
TANZANIA NA ZAMBIA ZAKUBALIANA KUENDELEA KUTATUA CHANGAMOTO ZA BIASHARA
-
Serikali za Tanzania na Zambia zimefanikiwa kufuta kero nne kati ya kero 15
zilizokuwepo awali ili kurahisisha michakato ya biashara ya nchi hizo
kutegemea...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment