Katibu Mkuu Wizara ya Michezo Vijana Utamaduni na Sanaa Zanzibar Ndg. Omar Hassan King, akipiga danadana kuashiria kuufungua rasmin Uwanja wa Mao Zendog kwa michezo ya Ligi mbalimbali za Zanzibar ,Uzinduzi huo umefanyika jana,
RUVUMA:JESHI LA POLISI WAMTIA MBARONI WIZI WA VIFAA NDANI YA MAGARINI HALFA
MINJA MKAZI WA SANAWALI JIJI LA ARUSHA
-
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma Kamishina msaidizi Mwandamizi
Marco Chilya,akionyesha baadhi ya kompyuta Mpakato(Laptop)zilizokamatwa na
Polisi k...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment