Mwenyekiti
wa Chama cha mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.
John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Mkewe Mama Janeth Magufguli na Katibu wa
Itikadi na Uenezi wa CCM Humphrey Polepole wakimsikiliza Msimamizi wa Ujenzi wa ukarabati wa Mradi wa Jengo la Kitega wa Kitega
Uchumi la Ccm (SUKITA) lililopo mtaa wa
Lumumba ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho
ya Miaka 42 ya CCM. Jijini Dar es Salaam.Febuari 5,2019.
Mwenyekiti
wa Chama cha mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.
John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Mkewe Mama Janeth Magufguli na Katibu wa
Itikadi na Uenezi wa CCM Humphrey Polepole akitoa maelekezo kwa Msimamizi wa Ujenzi wa ukarabati wa Mradi wa Jengo la Kitega wa
Jengo la Kitega Uchumi la Ccm (SUKITA)
lililopo mtaa wa Lumumba ikiwa ni sehemu ya
Maadhimisho ya Miaka 42 ya CCM. Jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwasikiliza Wajasiliamali
wadogo Paschal Sabas Mjasiliamali wa Madafu pamoja Dunia Seleman Simba
Mjasiliamali wa Miwa mara baada ya kukagua ukarabati wa Mradi wa Jengo la
Kitega Uchumi la Ccm (SUKITA) lililopo
mtaa wa Lumumba ikiwa ni sehemu ya
Maadhimisho ya Miaka 42 ya CCM. Jijini Dar es Salaam
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimlipa pesa Paschal Sabas Mjasiliamali wa Madafu
mara baada kununua Madafu yake, alipotembelea ili kukagua ukarabati wa Mradi wa
Jengo la Kitega Uchumi la Ccm (SUKITA)
lililopo mtaa wa Lumumba ikiwa ni sehemu ya
Maadhimisho ya Miaka 42 ya CCM. Jijini Dar es Salaam
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akisaidiwa na
Katibu Itikadi na Uenezi Humphrey Polepole
kunywa Dafu alilonunua kwa mjasiliamali Paschal Sabas mara baada a
kukagua ukarabati wa Mradi wa Jengo la Kitega Uchumi la Ccm (SUKITA) lililopo mtaa wa Lumumba ikiwa ni
sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 42 ya
CCM. Jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akinywa Dafu
alilonunua kwa mjasiliamali Paschal Sabas mara baada a kukagua ukarabati wa
Mradi wa Jengo la Kitega Uchumi la Ccm
(SUKITA) lililopo mtaa wa Lumumba ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 42 ya CCM. Jijini
Dar es Salaam
Mwenyekiti wa Chama
cha mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John
Pombe Magufuli akimsikiliza Mkurugenzi mtendaji African Media Group (AMG)
Jaffari Haniu alipotembelea ili kuangalia utendaji kazi wa Vituo vya
Televisheni na Radio vya African Media Group vinavyomilikiwa na Chama cha
Mapinduzi CCM. Wakati wa Maadhimisho ya Miaka 42 ya CCM. Jijini
Dar es Salaam.Febuari 5,2019.
PICHA NA
IKULU
No comments:
Post a Comment