Habari za Punde

Serikali Kuboresha Mazingira ya Upatikanaji wa Elimu kwa Makundi Maalum

Mkurugenzi Mkuu na Rais wa Kitengo cha Elimu la Jumuiya ya Madola (COL), Profesa Asha Kanwaramwe akizungumza wakati wahafla ya kufunga mkutano wa kimataifa wa kupokea na kujadili taarifa ya utekelezaji wa mradi wa Girls Inspire wenye  lengo la kuzuia ndoa za utotoni uliofanyika Jijini Dar es Salaam.
 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansina Teknolojia Dkt. Ave Maria Semakafu akifunga mkutano wa kimataifa wa kupokea na kujadili taarifa ya utekelezaji wa mradi wa Girls Inspire wenye  lengo la kuzuia ndoa za utotoni uliofanyika Jijini Dar es Salaam. 

Mkurugenzi Mkuu na Rais wa Kitengo cha Elimu la Jumuiya ya Madola (COL), Profesa Asha Kanwaramwe akizungumza wakati wahafla ya kufunga mkutano wa kimataifa wa kupokea na kujadili taarifa ya utekelezaji wa mradi wa Girls Inspire wenye  lengo la kuzuia ndoa za utotoni uliofanyika Jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.