Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Makamu wa Rais Mtendaji Mwandamizi wa Shirika la Kimataifa la Ushirikiano la Japan (JICA) Bw. Kazuhiko Koshikawa (wa tatu Kushoto) na ujumbe wake walipokutana Ikulu jijini Dar es salaa leo Februari 28, 2019. Wa pili kulia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt Damas Ndumbaro
Vodacom na Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Dar Es Salaam waadhimisha Usiku wa
Tuzo za wachezaji.
-
Vodacom Tanzania PLC kwa kushirikiana na Chama cha Mpira wa Kikapu Dar es
Salaam (BDL) waliandaa hafla ya tuzo maalum jijini Dar es Salaam, ikiwa ni
k...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment