Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe Riziki Pembe Juma akiwa na mwanafunzi Jokha, aliefaulu michepuo ya ufundi kutoka Skuli ya Msingi Madungu alipofika kuikagua Skuli hiyo, kushoto ni Afisa Mdhamini Wizara ya Elimu Pemba Mwalim Mohammed Nassor Salim na kulia ni Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Dkt Idrisa Muslim Hija.
Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Yapokea Karatasi za Kupigia Kura Uchaguzi
Mkuu 2025
-
Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Thabit Idarous Faina
(kushoto) akisaini hati za makabidhiano ya Karatasi za Kupigia Kura na
Mkurugenzi Mte...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment