Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe Riziki Pembe Juma akiwa na mwanafunzi Jokha, aliefaulu michepuo ya ufundi kutoka Skuli ya Msingi Madungu alipofika kuikagua Skuli hiyo, kushoto ni Afisa Mdhamini Wizara ya Elimu Pemba Mwalim Mohammed Nassor Salim na kulia ni Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Dkt Idrisa Muslim Hija.
VICTORIA FOUNDATION YAKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA SHULE 25 MKOANI GEITA.
-
Taasisi ya Victoria Foundation kwa kushirikiana na Orica Tanzania
inatekeleza mradi wa hatua kwa hatua uitwao Binti Ng'ara, kwa ajili ya
kumsaidia mtoto wa...
39 minutes ago
No comments:
Post a Comment