Habari za Punde

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Azungumza na Ujumbe Shirika la Misaada la Sweden (SIDA)

WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe Riziki Pembe Juma amefanya mazungumzo na ujumbe wa Shirika la misaada la Sweden SIDA Bwana Ulf Kallstig huko ofisini kwake Mazizini Mjini Unguja, kwa lengo la kuimarisha mahusiano na Serikali ya Zanzibar katika sekta ya Elimu nchini.
Viongozi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar wakiwa na ujumbe wa Shirika la misaada la Sweeden SIDA, huko katika ofisi ya Waziri wa Wizara hiyo Mazizini Mjini Unguja.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.