Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. John
Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Songwe wakati akielekea kwenye kiwanda cha
Saruji cha Mbeya ambapo aliweka jiwe la msingi la upanuzi wa kiwanda hicho.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akivuta utepe kuashiria Uwekaji wa Jiwe la Msingi la Upanizi wa Kiwanda
cha Saruji cha Mbeya kilichoko Songwe.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akivuta utepe kuashiria Uwekaji wa Jiwe la Msingi la Upanizi wa Kiwanda cha Saruji cha Mbeya kilichoko Songwe.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe.Dkt. John
Pombe Magufuli akiangalia Saruji inayotengenezwa na kiwanda cha Saruji cha
Mbeya kilichopo Songwe.
Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment