DCP wa Jeshi la Polisi Tanzania G.Y.Kamwela akisoma wasifu wa Marehemu DCP Azizi Juma Mohammed, wakati wa hafla hiyo ya maziko iliofanyika katika makaburi ya mwanakwerekwe Wilaya Magharibi B Unguja, yaliofanyika jana 9-6-2019. Na kuhudhuria na Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. kushoto Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe.Hamad Yussuf Masauni na Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe. Mohammed Aboud Mohammed.
KATIBU MKUU ARDHI ARIDHISHWA NA KAZI YA UIMARISHAJI MPAKA WA TANZANIA NA
KENYA
-
Na *Munir Shemweta, WANMM ROMBO*
Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi Anthony
Sanga ameoneshwa kuridhishwa na kazi ya uima...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment