Wananchi wakiwa na Watoto wao katika viwanja vya Skikuu ya Eid El Fitry katika viwanja vya Mnazi Mmoja Zanzibar, wakiungana na Waumini wa Dini ya Kiislam Duniani kusherehekea Sikukuu ya Eid El Fitry baada ya kumalizika kwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
Zaidi ya Tani 600 za ufuta zauzwa Tunduru, Bei yapanda.
-
Tunduru – Ruvuma.
Wakulima wa zao la ufuta katika Wilaya ya Tunduru wameonyesha kuridhishwa
na mchakato wa mauzo kupitia mfumo wa mnada wa wazi, ambapo k...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment